ALIYEKUWA nyota wa filamu za ngono, Amber Rayne amefariki dunia nyumbani kwake mjini Los Angeles nchini Marekani maofisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyakazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki akiwa usingizi wikendi iliopita.
Amber Rayne.
Mkaguzi wa matibabu katika Kaunti ya Los Angeles ameiambia Newsbeat kwamba hakuna sababu rasmi ya kifo chake iliyothibitishwa. Hata hivyo wamesema kuwa familia yake imearifiwa.
Jiunge na BONGOHOTZ.COM sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook
DOWNLOAD APPLICATION HAPA..!!
LIKE PAGE YA BONGOHOTZ KWENYE FACEBOOK

Post a Comment