bongohotz

MMAREKANI NYOTA WA FILAMU ZA NGONO AFARIKI



ALIYEKUWA nyota wa filamu za ngono, Amber Rayne amefariki dunia nyumbani kwake mjini Los Angeles nchini Marekani maofisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyakazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki akiwa usingizi wikendi iliopita.

amber_rayne
Amber Rayne.

Amber Rayne ambaye jina lake rasmi ni Meghan Wren alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Mkaguzi wa matibabu katika Kaunti ya Los Angeles ameiambia Newsbeat kwamba hakuna sababu rasmi ya kifo chake iliyothibitishwa. Hata hivyo wamesema kuwa familia yake imearifiwa.


Jiunge na BONGOHOTZ.COM sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook , Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usiache ku download application play store kupata habari ndani ya sekunde kila inapotufikia..Karibu

DOWNLOAD APPLICATION HAPA..!!


LIKE PAGE YA BONGOHOTZ KWENYE FACEBOOK


Post a Comment

Post a Comment