Kuna jambo linanishangaza sana, ni hivi kwanini wanawake wa kibongo wanapenda kujichubua ngozi na kutumia mikorogo,makalorite, hili wawe weupe na wafanane na wazungu.
Lakini sijawahi kumuona mwanamke wa mzungu akijichubua eti awe mweusi kama msichana wa Kiafrika.
Hivi kuna shida gani hapa wakuu?
Jiunge na BONGOHOTZ.COM sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook
LIKE PAGE YA BONGOHOTZ KWENYE FACEBOOK

Post a Comment