MSANII WA miondoko ya bongoflava linex afanya maamuzi ya kuoa kimya kimya.
Jana katika ukurasa wake wa instagram linex alipost picha akiwa na mke wake baada ya kufunga ndoa.
Linex aliandika maneno aya
''Kuna maamuzi ayaitaji matangazo",,
picha nyingine akaandika'' silence speakes volumes "
Kisha kumalizia na neno ``asante mungu" "
Hongera linex kwa kufanya maamuzi ya busara na yenye baraka bongohotz tunakutakia maisha mema ya ndoa na ndoa yenu idumu
Follow us on Facebook, instagram, and twitter. Com/bongohotz
Subcribe our TV on YouTube @bongohotz
Download our apps on Google play @bongohotz
Post by charzdangotetz
Hongera linex kwa kufanya maamuzi ya busara na yenye baraka bongohotz tunakutakia maisha mema ya ndoa na ndoa yenu idumu
ReplyDeleteHongera Sana linex kwa kufanya maamuzi sahihi na yenye baraka nakutakia maisha mazuri
ReplyDelete