Watu wanasema eti wanawake wanene wananuka na huwa na fangasi?
Aliewaambia
wanene wananuka nani? wanaonuka ni kwa sababu hawajui kujisafisha.Kama
mwanamke hajisafishi au sio msafi kiujumla ndio ananuka na hata kupata
fungus.
Mkubali mkatae wanaume nao wana machaguo yao, kama ni wembamba ua unene, kila mtu ana chaguo lake...ila ziwa na tako ndio mpango mzima.
ukiwa kimbau mbau hata ukipita hustui watu.
Mkubali mkatae wanaume nao wana machaguo yao, kama ni wembamba ua unene, kila mtu ana chaguo lake...ila ziwa na tako ndio mpango mzima.
ukiwa kimbau mbau hata ukipita hustui watu.
Uliisoma hii HII HAPA VIDEO YA ASKOFU GWAJIMA AKIMTUKANA ASKOFU PENGO,
Only Do What Your Heart Tells You
Only Do What Your Heart Tells You
Post a Comment