latest news

HII HAPA VIDEO YA ASKOFU GWAJIMA AKIMTUKANA ASKOFU PENGO, INATISHA SANA

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie Habari Moja Kwa Moja ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YANGU!..


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtaka Askofu JOSEPHAT GWAJIMA wa Kanisa la Ufufuo na Uzima afike haraka katika kituo cha Polisi cha Kati ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kashfa na matusi.



"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. 

  

"Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti iliyorekodiwa (audio) na picha za video (Video Clip) zikimuonyesha Askofu Gwajima akimkashfu na kumtukana kwa maneno makali Kaldinari Pengo katika hali ambayo pia imewaudhi watu wengine".

Baada ya tukio hilo juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanyika katika hali ya kawaida ili kumpata Askofu Gwajima bila mafanikio na hivyo yeye mwenyewe sasa anatakiwa aende akaripoti haraka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam bila kukosa.

Ni muhimu sana kwa Askofu Josephat Gwajima kuripoti yeye mwenyewe badala ya Kutafutwa au kukamatwa ili ajibu tuhuma hizo kutokana na nafasi yake katika jamii.

Jalada la uchunguzi limefunguliwa na upelelezi wa shauri hili unaendelea ili sheria ichukue mkondo wake.

Imetolewa na:

S. H. KOVA,

KAMISHNA WA POLISI KANDA MAALUM

DAR ES SALAAM
                Video  Ya  Gwajima  Akiporomosha   maneno  mazito.
           







           

 

 

 

 

 

 

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie Habari Moja Kwa Moja ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YANGU!..

 

French investigators say usable data has been extracted from the cockpit voice recorder of Germanwings 4U 9525 but it has so far yielded no clues as to the cause of the plane's crash. They said the plane hit the ground in the French Alps at great velocity, suggesting no explosion in flight. Flight 4U 9525 from Barcelona to Duesseldorf crashed after an eight-minute rapid descent on Tuesday. The French, German and Spanish leaders visited the crash site on Wednesday. Remi Jouty, the director of the French aviation investigative agency, said there were sounds and voices on the cockpit voice recorder but that it was too early to draw any conclusions. He said he hoped investigators would have the "first rough ideas in a matter of days" but that the full analysis could take weeks or even months. There had been earlier reports that the second black box - the flight data recorder - had been found. But Mr Jouty said this was not the case. 'Flying to the end' Mr Jouty said the plane's last communication was a routine one with air traffic control. The plane confirmed instructions to continue on its planned flight path but then began its descent a minute later.

 

 

 

BOFYA HAPA KUTUPIGIA KURA KAMA WAVUTI/BLOG UNAYOIPENDA...andika BONGOHOTZ.BLOGSPOT.COM

http://tuzozetu.com/vote/#gf_8


 

Post a Comment

1 Comments

  1. Anonymous8:53 AM

    This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete