AAGIZA

WAZIRI MKUU AAGIZA MAAFISA WA POLISI MTWARA, KILINDI KUSIMAMISHWA KAZI SAKATA LA MAUAJI - MALUNDE 1 BLOG - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro awasimamishe kazi maafisa wa Polisi wa Mikoa ya kipolisi ya Mtwara na Kilindi wakiwemo RPC na RCO ili kupisha uchunguzi wa mauaji yaliyotokea maeneo hayo.

 Timu hiyo itafanya kazi kwa siku 14 kuanzia kesho Jumamosi Februari 5,2022.

Hatua hiyo imekuja kufuati agizo la Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutoa agizo la kuundwa tume huru tofauti na tume iliyoundwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Maagizo haya yanakuja kufuatia kifo cha mfanyabiashara wa madini aliyekuwa na umri wa miaka 25, Musa Hamisi mkazi wa wilaya ya Nachingwea mkoa jirani wa Lindi, ambaye anadaiwa kukamatwa na askari wa polisi Oktoba 20, mwaka jana akiwa katika nyumba ya kulala wageni Mkoani Mtwara akituhumiwa kuwa mwizi wa pikipiki na kufikishwa kituo cha poilisi kwa ajili ya mahojiano.

Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/waziri-mkuu-aagiza-maafisa-wa-polisi-mtwara-kilindi-kusimamishwa-kazi-sakata-la-mauaji-malunde-1-blog-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment