Awachongea

RC Hapi Awachongea Wakuu wa idara kwa Rais Samia - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

MKUU wa Mkoa wa Mara (RC), Ally Hapi amemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kufumua wakuu wa idara mkoani humo wanakwamisha wakurugenzi kwani “wananuka rushwa.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Mara … (endelea).

Hapi amesema hayo leo Jumapili, tarehe 6 Februari 2022, mbele ya Rais Samia aliyetembelea ujenzi wa Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Musoma mkoani Mara.

Amesema, tangu alipomteua kuwa mkuu wa mkoa huo, alikutana na changamoto katika halmashauri za Tarime Vijijini, Bunda na Musoma Vijijini ambako miradi ya maendeleo ilikuwa haifanyiki.

“Tarime walikuwa wanapewa fedha kutoka mgodini, fedha zinakwenda na miradi haifanyiki, Bunda kulikuwa na ujenzi wa makao makuu ya halmashauri, wazabuni wamelipwa zaidi ya Sh.400 lakini vifaa havikapelekwa sababu hawana pa kuziweka,” amesema.

“Mheshimiwa Rais, tunakushuruku ulituletea wakurugenzi wapya katika maeneo yote haya, lakini tuna wakuu wa idara ambao bado wako kwenye mfumo uleule wa upigaji,” amesema

RC Hapi amesema, “Mheshimiwa Rais bila kufumua…watu wa manunuzi, mipango, hawa Ma DMO wametengeneza urafiki na hawa wa manunuzi.”

“Mkurugenzi kila ukimwelekeza anakutana na hawa wakuu wa idara, ni walewale waliofisadi miradi ya maendeleo. Tumebadili wakurugenzi, wakuu wa wilaya lakini wakuu hawa wa idara wananuka rushwa, wana urasimu mkubwa na wanakumbatia ufisadi. Tunaoma utusaidie katika hili ili,” amesema Hapi huku wananchi wakishangiliwa

Naye Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara amemwomba Rais Samia kufanyika kwa ukaguzi maalum hatika halmashauri kwani kuna ufisadi wa kutosha kwenye eneo hilo.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/rc-hapi-awachongea-wakuu-wa-idara-kwa-rais-samia-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment