Amchomoa

Nabi Amchomoa Kaseke Yanga..Kiwango Chake Hakijamshawishi Kocha - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

BAADHI ya mastaa wa Yanga ambao mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu ni pamoja na Deus Kaseke ambapo inatajwa kuwa uongozi wa klabu hiyo hauna mpango wa kumuongezea mkataba kutokana

na kushindwa kuonesha makali yake chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.

Kaseke ambaye alikuwa na kiwango kizuri msimu uliopita wa 2020/21, msimu huu mambo yamekuwa magumu kwake ambapo ameshindwa kumshawishi kocha Nabi kumuanzisha kwenye kikosi chake.

Chanzo kutoka ndani ya Yanga, kimeliambia Spoti Xtra kuwa:

“Kuna baadhi ya wachezaji wa Yanga mikataba yao inaelekea ukingoni mwishoni mwa msimu huu wakiwemo Saidi

Ntibazonkiza ‘Saido’ na Deus Kaseke.

“Saido uongozi upo tayari kumuongezea mkataba kutokana na kiwango chake kuwa bora, pia kocha Nabi (Nassredine) amesema bado anamuhitaji kwenye kikosi chake.

“Jambo zito lipo kwa Kaseke ambaye msimu uliopita aliongezewa mkataba wa mwaka lakini ameshindwa

kuonesha kiwango bora kiasi cha kuwashawishi viongozi na benchi la ufundi.

“Viongozi kwa sasa wamesema hawana mpango wa kumuongezea mkataba wa kuendelea kubaki kwenye timu

lakini pia kuna uwezekano wa timu kuachana na Paul Godfrey ambaye kwenye dirisha dogo alikuwa kwenye orodha ya kuachwa.”

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/nabi-amchomoa-kaseke-yanga-kiwango-chake-hakijamshawishi-kocha-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment