Asimamishwa

Morisson Asimamishwa Simba SC Kwa Utovu wa Nidhamu..Aandika Haya - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa Raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison imemsimamisha kwa utovu wa nidhamu.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya Simba zinaeleza winga huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu, kutokuelewana na viongozi wa Simba.

Taarifa hizi zinachochewa zaidi na kukosekana kwake katika mchezo wa Jana dhidi ya Tanzania Prisons licha ya kuwa hakua na matatizo yoyote ya kiafya. Mara Kadhaa Morisson ameshaingia katika migogoro na viongozi wa vilabu vya Simba na Yanga.

Kupitia mtandao wake wa Instagram na Twitter, Morisson ameandika;

“Jambo kubwa linakwenda kutokea, unaweza kuhisi ni nini???????

Soma hapa chini uone alichoandika.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/morisson-asimamishwa-simba-sc-kwa-utovu-wa-nidhamu-aandika-haya-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment