Abbaba

Mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika unafanyika Addis Abbaba - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Viongozi wa mataifa ya Afrika wanakutana mjini Addis Abbaba leo kwa mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika unaofanyika chini ya kiwingu cha wimbi jipya la mapinduzi ya kijeshi barani humo na kujikongoja kwa juhudi za kukabiliana na janga la virusi vya corona. 

Pamoja na masuala hayo mawili mkutano huo pia unalenga kutafuta uungaji mkono wa kushinikiza bara la Afrika kupata uwakilishi ndani ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. 

Katika taarifa yake kuelekea mkutano huo, shirika la kimataifa la masuala ya mizozo limesema suala la usitishaji mapigano nchini Ethiopia, kuunga mkono mazungumzo kwenye mzozo wa kanda ya Sahel na kuufanyia mageuzi ujumbe wa kijeshi nchini Somalia vinapaswa kuwa vipaumbele vya Umoja wa Afrika kwa mwaka huu. 

Umoja wa Afrika ambao mwezi Julai utatimiza miaka 20 tangu kuundwa kwako umekuwa ukikosolewa kwa kushindwa kushughulikia mizozo inayozuka kila wakati ndani ya bara hilo la waakazi bilioni 1.3

logoblog






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/mkutano-wa-kilele-wa-umoja-wa-afrika-unafanyika-addis-abbaba-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment