Aomba

Kocha Misri Aomba Fainali Kusogezwa Mbele - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

KOCHA msaidizi wa Misri Diaa al-Sayed anataka fainali yao ya Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal ichezwe Jumatatu badala ya Jumapili ili wapate siku ya ziada ya kupumzika.

 

Mafarao waliwashinda wenyeji Cameroon siku ya Alhamisi kwa mikwaju ya penalti, ukiwa ni ushindi wao wa tatu mfululizo.

Senegal, ambao wameshinda michezo zao zote ndani ya dakika 90, walishinda Burkina Faso 3-1 Jumatano.

“Naomba CAF fainali ichezwe Jumatatu,” Senegal wana siku moja ya ziada ya kupumzika” alisema Al-Sayed.

 

Al-Sayed alikuwa akizungumza na vyombo vya habari kwa sababu kocha wa Misri Carlos Queiroz alitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati wa mechi.

 

Mechi ya kutafuta mshindi wa nafasi ya tatu kati ya Cameroon na Burkina Faso ulipaswa kuwa Jumapili pia, lakini sasa itachezwa Jumamosi tarehe ya fainali iksogezwa itachelewesha wachezaji kurejea kwenye vilabu vyao.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/kocha-misri-aomba-fainali-kusogezwa-mbele-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment