DKT

Kiti kilichoachwa wazi na Dkt. Tulia kujazwa - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi, amesema kwamba uchaguzi wa kumpata Naibu Spika wa Bunge hilo utafanyika Februari 11, 2022, na kuvitaka vyama vyenye wawakilishi Bungeni kushiriki na kianze mchakato wa kumpata mgombea kutoka miongoni mwa wabunge wa chama hicho.

Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 3, 2022, hii ni baada ya aliyekuwa Naibu Spika ambaye sasa ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, kuandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo mnamo Januari 31 mwaka huu.

Jina la mgombea litatakiwa kuwasilishwa kwa msimamizi wa uchaguzi kabla ya saa 10:00 jioni siku ya alhamisi ya Februari 10, 2022.

logoblog

Thanks for reading Kiti kilichoachwa wazi na Dkt. Tulia kujazwa






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/kiti-kilichoachwa-wazi-na-dkt-tulia-kujazwa-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment