ASASI

KATIBU MKUU DKT CHAULA AZIFUNDA ASASI ZA KIRAIA-NGOs - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maendeleo
ya Jamii Dkt. Zainab Chaula  kushoto akizungumza wakati wa kikao hicho wa kwanza kulia ni Mbunge wa Viti Maalumu
kupitia Asasi za Kiraia Tanzania Bara (NGOs) Neema Lugangira

Mbunge wa Viti Maalumu
kupitia Asasi za Kiraia Tanzania Bara (NGOs) Neema Lugangira

Mbunge wa Viti Maalumu
kupitia Asasi za Kiraia Tanzania Bara (NGOs) Neema Lugangira akisistiza jambo wakati wa kikao hicho

Mkutano ukiendelea

 

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maendeleo
ya Jamii Dkt. Zainab Chaula amekutana na Asasi za Kiraia AZAKI kutoka Mikoa
ya Dodoma, Singida na Iringa lengo likiwa kujadili juu ya Ustawi wa taasisi
hizo nchini

Mkutano huo ulifanyika ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma huu ni utekelezaji wa ombi la Mbunge wa Viti Maalumu
kupitia Asasi za Kiraia Tanzania Bara (NGOs) Neema Lugangira kuhusu Wizara hiyo
kukutana na NGOs za Mikoani na ombi hili aliwasilisha alipokutana na Katibu
Mkuu huyo Januari 24 mwaka huu.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Katibu
Mkuu Chaula amesema kikao hicho na mambo mengine kimelenga kupokea changamoto,
kutoa elimu ya namna ya kuendesha AZAKI kwa kufuata sheria, kanuni na
taratibu ikiwemo kukabiliana na namna ya kuimarisha sekta hiyo.

Ameongeza kuwa kikao hicho kimetoa
fursa kwa AZAKI kutoka mikoani kutoa maoni yao na kupata uwakilishi katika
vikao na wizara kutokana na kwamba Asasi hizo zimekuwa na mchango mkubwa
katika maendeleo ya Tanzania.

Ambapo zimekuwa zikitoa elimu kwa
wananchi kuhusu mipango mbalimbali ya Serikali ikiwemo mabadiliko ya Tabia ya
nchi, masuala ya kiafya na kidemokrasia.

Akizungumza wakati wa Kikao hicho
,Mbunge Neema Lugangira amesema lengo ni kutoa fursa kwa NGOs za mikoani
kutoa maoni yao na kupata uwakilishi katika vikao na Wizara

Alisema pia lengo lengine ni kupokea
changamoto, kutoa elimu ya namna ya kuendesha NGOs kwa kufuata sheria na
kanuni na taratibu na kukubaliana namna ya kuimarisha Sekta ya Azaki.








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/katibu-mkuu-dkt-chaula-azifunda-asasi-za-kiraia-ngos-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment