aachiwa

Aliyemuua Mwenzake Bila Kukusudia Kwa Kutumia Kisu Buchani Aachiwa Huru na Mahakama - Swahili Viuhapa

featured image


viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemwachia huru mfanyabiashara Steven Aloyce mkazi wa Vingunguti kwa masharti ya kutotenda kosa la jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa mahakama hiyo Leila Mgoya baada ya mfanyabiashara huyo kukiri kosa la kumuua mwenzake Kijuba Mwangu bila kukusudia.

Kabla ya kutolewa kwa uamuzi huo wa kesi namba 44 ya Mwaka 2019 wakili Mwandamizi wa Serikali Janeth Magoho amedai Oktoba 16, mwaka 2017 mshitakiwa huyo alitekeleza mauji hayo kwa kumchoma kisu cha mgongoni na kifuani Kijuba, akiwa eneo la Vingunguti machinjioni kwa madai ya marehemu kumchukilia shilingi elfu sita na kukimbia nayo akidai ni ya kwake.

Aidha Wakili Magoho amedai baada ya marehemu kuchomwa kisu aliomba msaada kwa wasamaria wema ambao walimkimbiza katika Hospitali ya Amana lakini hata hivyo baada ya kufikishwa iligundulika ameshafariki dunia kabla ya kufikishwa Hospitalini.

Katika utetezi wake mshitakiwa huyo amekiri kumuua mwenzake bila kukusudia hivyo kuomba mahakama impunguzie adhabu kwa madai ya kukaa gerezani kwa muda wa miaka mitano na kwamba anajutia kutenda kosa hilo nakuahidi kuwa mfano bora kwenye jamii pasi kurudia kosa.

Akitoa uamuzi wake Jaji Mgoya amesema amezingatia mazingira ya kosa lilipotendeka kwamba ni mazingira ya machinjioni ambayo kisu hakiwezi kukosekana licha ya kwamba mshitakiwa angeweza kutawala hasira zake ili kuzuia madhara yasitokee.

Pia ameeleza kwamba amezingatia muda ambao mshitakiwa amekaa Gerezani tangu alipokamatwa hivyo anaamini amejifunza na kujutia makosa yake hivyo kuachiwa kwa masharti hayo yaliyotajwa sambamba na kuwa chini ya uangalizi maalumu kwa kipindi cha mwaka mmoja pasi kutenda kosa la jinai.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE




viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/aliyemuua-mwenzake-bila-kukusudia-kwa-kutumia-kisu-buchani-aachiwa-huru-na-mahakama-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment