Hatari tupu....Msanii mkongwe wa filamu Tanzania "Niva" ametoa Povu kwa wasanii wachanga wa filamu akidai kuwa walianza na maneno sana na wakongwe wakaamua kuwaachia lakini wameshindwa.
Niva anasema:
"Najua kua soko haliko vizuli. Nawasanii wenzangu wanalalamika kua soko halikopoa. Sasa nawauliza wapo wapi wale wasanii walio kuwa wanatamba kua wao ndio wao akunakama wao. Na nyinyi watu wa humu instagram mkiwa mnawakumbatia kua wakali wakali mnaweza mkowapi. Usijitie wewe mkali ilihali huna uwezo wakulibeba soko. Msanii storry ya kuandikiwa bado kwenyemahojianoo nyodonyingiii unajiona wewe ndio wewe unasahau kueshim walio kubeba na ukaonekana unaletazalau naomba kuwambia watanzania soko halijafa Bali tuliamua kuwaachia wenye vimidomodomo wanao jifanya soko wamelikamata tuone uwezo wao watoto wadogo kupata videm kidogo nyoodo aya turudishie soko Sasa. Pumbavu zenu woote mpo shimoni mnazama jb atabaki kua jb Rey atabaki kua Rey Richie atabaki kua rich niva atabaki kua niva riyama atabaki kua riyama rado atabaki kua rado Jimmy atabaki kua Jimmy nilazima ukubali kua bongo movie kunawatu wakiamua kukaa pembeni lazima soko liyumbe wasanii wachanga mnaleta Sana vidomo mkipewa nafasi msijiione mmemaliza jalibuni kuwaeshim wakubwa walio watangulia @jb_jerusalemfilms @jimmymafufu @radomanking @bagamteme nimekubali kuludi uwanjani waambieni hao watoto wenu kuwa saa inawenyewe @director_johnlister @rashidmrutu @selemanimasenga @mlelandro wafundisheni adabu watotowenu jembelangu @riyamaally tuludi mzigoni @wemasepetu I see u soon #ambacksipendizarau movie sio za maeditor movie ni Zamadirector sanaa ipo dar mikoani ni location tu naitwa niva_supermariyoo nimeo. Shiiiiiiip m.bongo Mwenye bongo movie yangu. Sanaa ipo dar."
Post a Comment