latest news

ALSHABAB WAMEMUUA MTANZANIA KWA KUSALITI CHAMA

Habari mpya ya kusikitisha ni kuwa Kijana wa Kitanzania, Issa James Mwesiga ameuawa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab kusini mwa Mogadishu, Somalia akihisiwa kuwa shushushu.

Mtanzania huyo alijiunga na kikundi cha wanamgambo wa Alshabaab mwaka 2013

Post a Comment

Post a Comment