Burudani

Wasichana waliorudi shuleni hawaruhusiwi kwenda na watoto wao darasani - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Waziri wa Elimu nchini Tanzania, amenukuliwa na vyombo kadhaa vya Habari nchini, akisema, agizo la serikali la kuwaruhusu wanafunzi wa kike waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kurudi shuleni, halimaanishi kwamba wanafunzi hao waruhusiwe kuingia darasani na watoto wao.

Profesa Adolf Mkenda ambae ndiye waziri wa elimu amesema kufanya kunaweza kuwasumbua wanafunzi wengine wakiwa darasani.

Kauli hii ya waziri Mkenda, inakuja siku chache baada ya makala iliyofanywa na BBC inayomuonesha binti mmoja akiwa darasani na mwanaye.

Esnath Gedion kutoka jijini Mbeya, tangu shule kufunguliwa, amekuwa akiingia darasani na mwanaye mwenye umri wa miezi minne, baada ya kukosa mtu wa kukaa na mtoto wake nyumbani.

Serikali ya Tanzania mwishoni mwa mwaka jana iliondoa marufuku ya kuzuia wanafunzi wa kike waliokatiza masomo kwa kupata ujauzito kurudi shuleni.

Hata hivyo, licha ya kuwepo kwa fursa hiyo, baadhi ya wanafunzi wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kukosa watu wa kuwaachia watoto nyumbani, hivyo baadhi kulazimika kuingia na watoto wao darasani.

Baadhi ya wadau wa elimu, wanasema, serikali ilitakiwa kuweka miundombinu rafiki kwanza kwa wanafunzi hao na watoto wao.

Baadhi ya wanafunzi hao, wamerudi shuleni kupitia mradi wa Alternative Education Pathway, ambao ni wezeshi na hauna masharti magumu kwa wanafunzi kama vile kuvaa sare darasani.

Mratibu wa elimu ameiambia BBC kwamba, miongoni mwa mapendekezo waliyowasilisha serikalini ni pamoja na kuweka vituo vya kulelea watoto ili wanafunzi hao wapate muda mzuri wa kusoma.

Hata hivyo, mpaka sasa, hatma ya mabinti wanaokabiliwa na changamoto ya ulevi kama vile Esnath, haijulikani.

logoblog

Thanks for reading Wasichana waliorudi shuleni hawaruhusiwi kwenda na watoto wao darasani






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/wasichana-waliorudi-shuleni-hawaruhusiwi-kwenda-na-watoto-wao-darasani-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment