BAHARI

TMA YATOA TAARIFA YA UWEPO WA KIMBUNGA “BATSIRAI” KATIKA BAHARI YA HINDI - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Na Karama Kenyunko Michuzi TV

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Batsirai katika maeneo ya Kusini Magharibi mwa bahari ya Hindi.

kimbunga hicho tangu ambacho kilijitokeza katika bahari ya Hindi tarehe 27/01/2022 kwa sasa kimesogea katika maeneo ya kisiwa cha Madagascar.

Katika taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo leo Februari 4,2022 imesema uchambuzi wa mifumo ya hali ya hewa unaonesha kutokuwepo kwa uwezekano wa kimbunga hicho cha Batsirai kufika katika Pwani ya Tanzania lakini uwepo wake baharini unatarajiwa kuathiri mifumo ya hali ya hewa kwa baadhi ya maeneo hapa nchini ikiwa ni pamoja na kusababisha ongezeko la mvua; vipindi vya upepo mkali unaofika na kuzidi km 40 kwa saa na mawimbi makubwa baharini yanayozidi mita 2 hasa kwa maeneo ya ukanda wa pwani.

Taarifa hiyo pia imeyataja maeneo yanayotarajiwa kupata vipindi vya mvua kubwa kutokana na uwepo wa kimbunga hicho baharini kati ya tarehe 04 hadi 08/02/2022 ni pamoja na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, Morogoro, Pwani, Singida, Dodoma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa.

Hata hivyo mvua za Msimu zinaendelea katika maeneo mengine yanayopata mvua hizo.

Hata hivyo wakati, Mamlaka inaendelea kufuatilia mwenendo wa kimbunga hicho, inawashauri wananchi kuendelea kufuatilia na kuzingatia taarifa za utabiri kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania pamoja na kupata ushauri na
miongozo ya wataalam katika sekta husika ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza.








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/tma-yatoa-taarifa-ya-uwepo-wa-kimbunga-batsirai-katika-bahari-ya-hindi-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment