africa

Rais mpya wa MasterCard International- Sub Sahara Africa ashuhudia droo ya tano kampeni ya NMB MastaBata - Swahili Viuhapa

featured image


viuhapa

Rais mpya wa MasterCard International- Sub Sahara Africa, Mark Elliott, ameshuhudia droo ya wiki ya tano ya Kampeni ya NMB MastaBata, ambako washindi 100 wamejishindia jumla ya Sh. Mil 10, hivyo kufanya pesa zilizotolewa kwa washindi 525 kufikia Sh. Mil. 75 Kati ya zaidi ya Sh. Mil. 200 zinazoshindaniwa.

NMB MastaBata – Kivyako Vyako,’ ilianza mwishoni mwa Desemba 2021, ambako kila wiki washindi 100 hutafutwa kupitia droo zinazosimamia na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT). Washindi 25 wa droo ya mwisho wa mwezi hujishindia Sh. Mil. 1 kila mmoja, huku wana fainali 30 wakitarajiwa kujinyakulia Sh. Mil. 3 kila mmoja hapo Machi mwishoni.

MasterCard ni washirika wa kibiashara wa NMB, ambako mwaka jana 2021 Kampuni hiyo iliitunukia NMB Tuzo ya Benki Kinara Katika Kuhamasisha Matumizi ya Kadi, ambako Leo Rais Mark Elliot, ameshuhudia moja ya droo ya kampeni hio.

Akizungumza kabla ya droo, Meneja wa Idara ya Kadi NMB, Sophia Mwamwitwa, alisema tayari washindi 400 wa droo za kila wiki walishatwaa Sh. Mil. 40, huku washindi 25 wa droo ya mwisho wa mwezi Januari wakijinyakulia Sh. Mil. 25, hivyo kupatikana kwa washindi 100 wa droo ya 5, kuigawa kampeni hiyo nusu kwa nusu kuelekea ‘Grand Finale’ mwishoni mwa Machi mwaka huu.

Droo hiyo ilifanyika chini ya usimamizi wa Mkaguzi wa GBT, Joram Mtafya, ambaye aliwahakikishia wateja wa NMB kuwa, kampeni hiyo inaendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu zinazotambuliwa na bodi yake na kwamba uwepo wake hapo ni mfululizo wa utekelezaji wa majukumu yao ya kuhakikisha washindi wanapatikana kihalali, huku akiwatoa hofu wateja wote.


viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/rais-mpya-wa-mastercard-international-sub-sahara-africa-ashuhudia-droo-ya-tano-kampeni-ya-nmb-mastabata-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment