habari

Paula Kajala "Mtanikoma Nikirudi" | UDAKU SPECIAL - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

PAULA Kajala ni modo, video vixen na mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii ambaye ni binti wa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja na producer wa Bongo Feleva, P Funk Majani.

Kwa sasa, Paula ambaye ni mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa au Rayvanny yupo masomoni

nchini Uturuki na anafanya hivyo ili aje kuishi maisha mazuri bila kumtegemea mtu.

Mrembo huyo amekuwa maarufu zaidi baada ya kuwa na Rayvanny akituhumiwa kuvunja uhusiano wa jamaa huyo na baby mama wake, Fahyma.

Hata hivyo, juzikati walizima tetesi za kuachana kwamba baada ya kufuatana kwa mara nyingine kwenye kurasa zao za Instagram.

Akiwa nchini Uturuki, kama kawaida yake, Paula ameendelea kuwachimba mkwara baadhi ya watu ambao wamekuwa wakimuandama mitandaoni wakidai amepora mwanaume wa mtu.

Katika moja ya posti zake, Paula anasema; “Nyie hizi fashion hizi, hii yote ili nipate picha nzuri ya kitchen party, mtanikoma nikirudi…”

Paula anamaanisha kwamba, atakaporejea nchini Tanzania atakuwa na mvuto wa aina yake wa kuwafanya watu wampende zaidi.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/paula-kajala-mtanikoma-nikirudi-udaku-special-swahili-viuhapa-2/
Post a Comment

Post a Comment