habari

Njombe Mji FC yaamka upya,viongozi wa mpito macho yao ni ligi kuu - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Na Amiri Kilagalila,Njombe.

Uongozi wa mpito wa Club Njombe inayoshiriki ligi daraja la pili umefunguka mazito katika kuiongoza ligi hiyo ili iweze kurejea ligi daraja la kwanza (Champion ship) na hatimaye ligi kuu.

Katibu mkuu wa Club ya Njombe mji bwana Johnson Mgimba amewaeleza wanasoka kuwa Club hiyo imepata uongozi wa mpito hivi karibuni na kuweka malengo makubwa ya kuhakikisha Club hiyo inarejea daraja la kwanza mpaka ligi kuu ili kuendelea kuwaletea burudani wapenda soka wa mkoa wa Njombe.

“Ukianguka unatakiwa usibaki hapo hapo,inatakiwa usimame na kusonga mbele,na sisi viongozi wa mpito tumedhamiria kwa dhati kuhakikisha tunatekeleza matakwa ya wananjombe ya kuona timu yetu ya Njombe mji tunaitengenezea njia ili iweze kurudi ligi kuu”alisema Mgimba

Katibu ameomba ushirikiano kwa wananchi wa mkoa wa Njombe ili kutekeleza dhamira yao ya kuiboresha timu.

“Wadau wote wa Njombe mji tunakualika utoe mawazo yako katika kuijenga Njombe mji na sisi viongozi wenu tunataka mawazo ili kuiletea mawzo timu yetu”aliongeza Johnson

Vile vile amesema timu inaanza kuingia kambini ili iweze kumalizia michezo yake katika duru ya pili inayoanza jumamosi

“Tumeshaiandaa bajeti yetu ili tuweze kumaliza hii mizunguko yake sita,tunawashukuru sana wadau wote kwa michango yenu kwa kuwa tuna kila sababu ya kuirudisha timu yetu katika ligi kuu na kuomba wadau kuendelea kujitoa kwa ajili ya timu hiyo”anasema Mgimba

Aidha katibu amemshukuru Dokta Thobias Lingala ngala ambaye ni mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Njorefa kwa kusaidia ukarabati wa hostel zilizopo sabasaba kwa ajili ya kuwaweka pamoja wachezaji.

Viongozi wa mpito wa club hiyo waliochaguliwa hivi karibuni ni Stiven Njowoka mwenyekiti wa Club,Hamidu Ngole makamu mwenyekiti,Johnson Mgimba katibu mkuu,Alex Mhagama naibu katibu mkuu,Elizabeth Kilindi mhazina,Japhari Mgenda mjumbe,Maulid Ngole mjumbe,Vasco Simbaya mjumbe na Monlee Samsoni akiwa ni afisa habari wa Club hiyo.

 

logoblog

Thanks for reading Njombe Mji FC yaamka upya,viongozi wa mpito macho yao ni ligi kuu






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/njombe-mji-fc-yaamka-upyaviongozi-wa-mpito-macho-yao-ni-ligi-kuu-swahili-viuhapa-2/
Post a Comment

Post a Comment