Atajwa

Morrison Atajwa Kuibukia Yanga | UDAKU SPECIAL - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison amemamisha kwa muda hadi suala lake la kinidhamu litakapo patiwa ufumbuzi.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu hiyo, Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa kinyume na taratibu.

Aidha ametakiwa kutoa maelezo ya maandishi kwa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez na akishindwa kufanya hivyo hatua zaidi za kinidhamu zitachukuliwa.

Taarifa zinaeleza kuwa mabosi wake wa zamani Yanga wameweka malengo ya kuinasa kwa mara nyingine tena saini yake.

 

Ikumbukwe kwamba Morrison aliachana na Yanga Agosti 8,2020 kisha akatambulishwa ndani ya Simba ambapo kwa sasa mkataba wake unakaribia kufika ukingoni.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/morrison-atajwa-kuibukia-yanga-udaku-special-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment