AIPOTEMBELEA

MAKAMU WA RAIS AIPOTEMBELEA TANZANITE QUEEN ETHIOPIA - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wachezaji na viongozi wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20 ( Tanzanite) wakati alipoitembelea timu hiyo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia jana tarehe 04 Februari 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20 ( Tanzanite) wakati alipoitembelea timu hiyo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia jana tarehe 04 Februari 2022.

……………………….

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango jana tarehe 04 Februari 2022 akiwa nchini Ethiopia, amewatembelea na kufanya mazungumzo na wachezaji na viongozi wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20(Tanzanite) mazungumzo yaliofanyika katika ubalozi wa Tanzania Nchini Ethiopia.

Makamu wa Rais amewapongeza wachezaji hao na viongozi wao kwa hatua waliofikia pamoja na kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki. Amesema siku zote timu hiyo ya wanawake imekuwa ikitangaza vema jina la Tanzania katika michezo.

Aidha Makamu wa Rais amewaasa Makocha na Viongozi wa timu hiyo kuwalea vema wachezaji hao ili waendelee kuwa na mchango katika taifa. Makamu wa Rais amesema michezo ni afya na ajira hivyo itawawezesha wachezaji hao kuendelea kupata kipato.

Aidha amewatakia heri wachezaji hao katika mechi yao dhidi ya Ethiopia na kuwaeleza kwamba Watanzania wote wapo pamoja na timu hiyo na kuwaombea kupata matokeo mazuri.

Timu ya taifa ya Tanzania ya wanawake chini ya miaka 20 ipo nchini Ethiopia kucheza mchezo wa pili wa kutafuta tiketi ya kushiriki fainali za kombe la dunia kwa wanawake nchini Costa Rica baadaye mwaka huu.

Makamu wa Rais yupo nchini Ethiopia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) unaotarajiwa kufanyika tarehe 5 na 6 Februari 2022.






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/makamu-wa-rais-aipotembelea-tanzanite-queen-ethiopia-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment