Arabia

Majasusi wa Iran wanaoungwa mkono na Saudi Arabia wakutwa na hatia Denmark - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

Mahakama ya Denmark imewapata na hatia wanachama watatu wa kundi la upinzani la Iran ya kufanya ujasusi kwa Saudi Arabia.

Wanaume hao watatu walizuiliwa na polisi mnamo Februari 2020 na ni wanachama wa Vuguvugu la Movement for the Liberation of Ahvaz (ASMLA).

Pia walipatikana na hatia ya “kuchochea ugaidi” kwa kuunga mkono mrengo wake wa kijeshi nchini Iran.

Wanakabiliwa na hukumu mwezi ujao, na uwezekano wa vifungo vya hadi miaka 12 na kufukuzwa nchini.

logoblog

Thanks for reading Majasusi wa Iran wanaoungwa mkono na Saudi Arabia wakutwa na hatia Denmark






viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/majasusi-wa-iran-wanaoungwa-mkono-na-saudi-arabia-wakutwa-na-hatia-denmark-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment