Bashungwa

Innocent Bashungwa "Waliokula fedha za Miradi kuzitapika" - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema wanafanya uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha za miradi kwenye mikoa mitatu ambayo ni Mbeya, Singida na Iringa na kwamba ikibainika kuna ubadhilifu fedha hizo wahusika watazitapika.

Fedha zitakazotapikwa ni zile za miradi ziliozotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) Sh Trilioni 1.3 kwa ajili ya kuinua Uchumi.

Bashungwa akifafanua amesema kwa upande wa jiji la Mbeya mapato nusu mwaka yameshuka pia kuna pos (Mashine za kieletroniki za kukusanya mapato), zaidi 72 zilizimwa kwa zaidi ya siku 100.

“Mheshimwa Rais, tupo tunachunguza ni kwa nini pos hizo zilizimwa kuna upotevu mkubwa sana wa mapato, tayari nimeshaunda tume na badae tuchukue hatua,” ameeleza Bashungwa na kuongeza.

“Pia kuna Halmasharui ya Geita Vijijini baada ya Mbunge Joseph Musukuma kutoa tuhuma kuna ubadhilifu katika halmashauri ile, nako pia nimeunda tume tunafanya uchunguzi kwa mujibu wa taratibu ili tusimuonee mtu.”

Bashungwa alisema kwa upande wa Singida kupitia Halmashauri Kuu ya Chama ya Mkoa, kulitokea changamoto upande wa Mkurugenzi na kwamba Tamisemi tumefanya uchunguzi kwa ajili ya kukuletea na kushauri nini kifanyike.”

Pia kwa upande wa Manispaa ya Iringa na maeneo mengine wanafanya tathmini kwa halmashauri zote fedha za maendeleo zilizoenda zimefanya kazi iliyokusudiwa na kwa usahihi.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/innocent-bashungwa-waliokula-fedha-za-miradi-kuzitapika-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment