baada

Chozi la CEO wa Facebook Mack Zuckerbeg Baada ya Kupoteza Mpunga Mwingi - Swahili Viuhapa

featured image





viuhapa

 

HABARI HIZI ZINAPATIKANA  KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE

 

Wamiliki wa mtandao wa Facebook kwa sasa, wanapitia wakati mgumu kibiashara, punde baada kupoteza kiasi cha pesa kisichopungua Usd 237 Billion ambazo ni sawa na zaidi ya Trilioni 547.9 za Kitanzania.

Kiwango hicho ni cha pesa ya hisa za kampuni hiyo ndani ya siku moja, hii ikiwa ni kwa mara ya kwanza kuingia hasara yenye ukubwa wa kiasi hicho tangu kampuni hiyo ianze kufanya kazi.

Hasara hiyo kwa kampuni ya Facebook ambayo miezi michache iliyopita ilibadilisha jina na kuwa Meta, imesababisha kuathiri sehemu ya utajiri wa mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo Mark Zuckerberg ambaye amepoteza Usd 29.7 million, ambazo ni sawa na zaidi ya Trilioni 67 za Kitanzania.

Kwa mujibu wa chati ya orodha ya watu matajiri zaidi Duniani, Jumatano Februari 2, 2022. Mark Zuckerberg alishika nafasi ya 7 kwenye orodha ya watu matajiri zaidi duniani akimiliki kiasi cha pesa kisichopungua Usd 113 billion, ambazo ni sawa na zaidi ya Trilioni 261 za Kitanzania.

Baada ya tukio hilo, mpaka kufika siku ya Alhamis Februari 3, 2022 Mack ameshuka mpaka kwenye nafasi ya 12, huku kiwango cha utajiri wake kikiwa ni Usd 83.4 billion ambazo ni sawa na zaidi ya TSh. Trilioni 192 za Kitanzania.

Licha ya hilo, ripoti zinasema kuwa mtandao wa Facebook pia umeshuka kwa kiwango kikubwa kwa upande wa watumiaji wa mtandao huo maarufu Duniani kutokana na kipimo cha idadi ya watumiaji wa siku ‘Daily Active Users’.

Wakati huo ukipoteza watumiaji takribani laki tano (500k) ndani ya kipindi cha takriban miaka 18 ya utendaji wa mtandao huo, idadi ya watumiaji  ikiporomoka kutoka watumiaji Bilioni 1.93 hadi kufikia watumiaji Bilioni 1.92.

 Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE








viuhapa

Viuhapa – habari tanzania kwa kiswahili

soma habari mbalimbali za tanzania na ulimwenguni kote kwa kiswahili hapa swahili Viu Hapa. Visit Swahili Viuhapa soma magazeti, habari za mastaa na udaku, umbea, mziki na hadithi za chombezo.

Viuhapa – Latest News and Gossip Leaks Celeb

The latest entertainment news and celeb leak staff worldwide can be found on Viu Hapa. Visit Viuhapa today for latest showbiz and celebrity.

Jobo escort – pata wadada wanaojiuza kutoka tanzania

Pata wadada wanaojiuza kutoka karibu yako hapa tanzania. wanatoa huduma zote. wapigie uongee nao..tembelea jobo escort tanzania. Malaya warembo wamejaa. Visit joboescort today for latest showbiz and celebrity.

vesgeta – Pata website kwa bei nafuu kwa ajili ya Kampuni au biashara yako.

Vesgeta Tech ni watengenezaji wa website / tovuti tanzania. wanatengeneza website kwa bei nafuu zaidi…. Visit vesgeta WATENGENEZA WEBSITE TANZANIA KWA BEI NAFUU.

https://www.swahili.viuhapa.com/chozi-la-ceo-wa-facebook-mack-zuckerbeg-baada-ya-kupoteza-mpunga-mwingi-swahili-viuhapa/
Post a Comment

Post a Comment