international

PICHA: Watoto wa Lucky Vincent wafika salama Marekani Mmoja Tayari Ameshafanyiwa Upasuaji



Taarifa iliyotolewa na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu imeeleza kuwa

“Madaktari wamesema wamemfanyia upasuaji wa bega ‘shoulder’, mtoto Doreen ambaye ni mmoja wa watoto watatu waliojeruhiwa kwenye ajali ya basi la Lucky Vincent Nursery and Primary School.

“Mtoto huyo amefanyiwa pia upasuaji wa nyonga ‘hip’ ambapo baadae leo mtoto huyo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa taya ‘jaw’.

“Pia mtoto huyo atafanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo ‘spine’ kesho.

“Tuendelee kumweka yeye na wenzake katika maombi na sala zetu!”


Watoto Wilson na Sadia walipowasili uwanja wa Sioux City usiku wa kuamkia leo. Walipelekwa Moja kwa Moja Mercy hospitali.


Download bongohot.apk from APKShared.net - APK Hosts File
Post a Comment

Post a Comment