politics

IBRAHIM LIPUMBA: JECHA ALIFANYA VIZURI KUFUTA MATOKEOVYA UCHAGUZI ZANZIBAR

Mwenyekiti wa CUF Ibrahim Lipumba, anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa,  amesema ni afadhali Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha aliyefuta matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar  kuliko Maalim Seif aliyejitangazia matokeo.

Lipumba amesema, Maalim Seif ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF alifanyakosa kubwa  kujitangazia matokeo.

Lipumba anaendelea na mahojiano ya moja kwa moja yanayorushwa na televisheni ya Clouds.

Post a Comment

Post a Comment