Kumnyima Lema Dhamana hakutufanyi tuvunjike Moyo... Bali ndiyo tumepata ujasiri wa kujiandaa zaidi na kutuambia Mabadiliko ya kisiasa tunayotaka lazima tuyalipie... Lema yupo Strong kuliko Jana,Lema siyo Mwepesi kama mnavyodhana inawezakuwa..
Mawakili wetu tunawapongeza kazi kubwa na ngumu ya kupambana kwenye vyombo sitahiki, Ninauhakika Mbele ya Mawakili wetu Mapambano kamwe hayatakoma.. Hii inaitwa Struggle of power... Comrade Wakili Msomi Peter Kibatala na Mawakili wengine Mnapigania haki Imani yetu bado ipo kwenu.. Neema Tarimo Lema Najua upo Strong hujawahi kutetereka Shemeji wangu wa nguvu...We shall overcome..NEVER SAY NEVER
By Henry Kilewo
Post a Comment