sports
STORI NZIA YA SIMBA KUPEWA SIKU 30 NA FIFA ZA KUMLIPA DONALD MUSOTI SHILINGI MILLION 30
0
Comments
Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA leo May 6 2016 limeleta barua Tanzania kwa klabu ya Simba na nakala kwa shirikisho la soka Tanzania TFF, barua ambayo inaagiza Simba kulipa pesa za mchezaji wake wa zamani iliyomuacha Donald Musoti bila kumalizia fedha zake za usajili na pesa za kuvunja mkataba baada ya kumuacha.
FIFA imeagiza Simba katika barua yake iliyoandikwa May 3 2016 na kufika Tanzania leo May 6 2016 kumlipa Musoti Tsh milion 64.2 za kitanzania pamoja na gharama ya kikao cha Idara ya Utatuzi wa Migogoro (Desputes Resolution Chamber) cha FIFA.
![]() |
| Donald Musoti |
Kiasi kingine anachodai ni Dola 600 (Sh 1,290,000) zilizobaki katika usajili ambapo jumla yake ni Sh 64.2 milioni. Pia Mosoti anamlipa Mwanasheria wake dola 2,000 (Sh 4.3 milioni) kwa ajili ya kusimamia kesi hiyo. Kama Simba itashindwa kulipa deni hilo ndani ya siku 30, itaponywa point tatu au kushushwa daraja.
Jiunge na BONGOHOTZ.COM sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook
LIKE PAGE YA BONGOHOTZ KWENYE FACEBOOK


Post a Comment