TECHNOLOGY

JE UNAFAHAMU UWEZO WA "CAMERA" WA SIMU YA "SAMSUNG GALAXY S6"??? FAHAMU HAPA ...NI SHIDAAAA.


Kampuni ya Samsung ipo karibuni kuachia simu yake ya Samsung Galaxy S6 na tayari imeshaanza kutoa vi clip vifupi kuelezea simu hiyo hususan upande wa Kamera.
hata hivyo simu hiyo inasemekana kuwa na kamera ya kipekee zaidi ambayo ina 20 Megapixels (Kamera ya Nyuma) na 5 Megapixels Kamera ya Mbele.


                  
Post a Comment

Post a Comment